Naamini uwezo wangu utanipa timu Hispania - Farid Winga wa Azam FC, Farid Mussa Malik ambaye yupo nchini Hispania kwenye majaribio Winga wa Azam FC Farid Mussa ambaye yupo Madrid nchini Hispania amesema, anaamini kiwango chake cha uchezaji kitamuwezesha kusonga mbele katika majaribio nchini humo. Read more about Naamini uwezo wangu utanipa timu Hispania - Farid