Wauguzi sita Temeke wasimamishwa kwa kuuza gloves

Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt Hamis Kigwangala leo ameagiza wauguzi sita wasimamishwe kazi kwa kutuhumiwa kuuza mipira ya kuvaa mikononi ya kujikinga (gloves) kwa wanawake wajawazito katika hosipitali ya Temeke.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS