Barcelona yafikia rekodi ya Real Madrid

Wachezaji wa Barcelona Jord Alba(kushoto)Lionel Messi (kati)na Neymar(kulia)wakishangila bao la kusawazisha jana dhidi ya Sevilla mechi waliyofanikiwa kushinda bao 2-1.

Mabao ya Lionel Messi na Gerard Piqué yameiwezesha Barcelona kutoka nyuma na kuifunga Sevilla 2-1 Uwanjani Camp Nou na kuifikia Rekodi iliyowekwa na Real Madrid ya kucheza mitanange 34 bila kupoteza hata moja katika Mashindano yote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS