Halmashauri zaagizwa maeneo salama kwa Wananchi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.KasSim Majaliwa

Serikali imezitaka halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wananchi wote wanaishi katika maeneo salama katika kipindi hiki cha mvua ili kuwahepusha na kukumbwa na maafa pindi zinaponyesha mvua kubwa zinazosababisha mafuriko.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS