Wanafunzi wa sheria watinga wizarani kudai mikopo

Moja ya Majengo yanayopatika katika shule ya sheria nchini Tanzania (Law School).

Wanafunzi 46 wa Shule ya Sheria nchini Tanzania jana wamefika katika wizara ya Katiba na Sheria kushinikizo kupatiwa mikopo kutoka bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu ili waweze kukabiliana na mahitaji pamoja na kujikimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS