CHADEMA yajihakikishia ushindi 2025 Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CHADEMA John Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CHADEMA John Mrema, amesema kuwa endapo uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa huru na haki wanayo matarajio makubwa kwamba watashinda uchaguzi huo. Read more about CHADEMA yajihakikishia ushindi 2025