Rwanda yaitupa shutuma DRC. Rwanda imeishutumu serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa "kuyatengeneza" mauaji ambayo wachunguzi wa Umoja wa Mataifa walisema yalifanywa na waasi wa M23 na kusababisha vifo vya raia 131. Read more about Rwanda yaitupa shutuma DRC.