"Mwanaume anaridhikaje na mke mmoja"- Musa

Musa akiwa na watoto wake

Musa Hasahya ni mkulima kutoka Butaleja nchini Uganda ambaye ana wake 12, watoto 102 na wajukuu 568 amesema kwamba hatoongeza tena ukubwa wa familia yake kutokana na kupanda kwa gharama za maisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS