"Mwanaume anaridhikaje na mke mmoja"- Musa Musa akiwa na watoto wake Musa Hasahya ni mkulima kutoka Butaleja nchini Uganda ambaye ana wake 12, watoto 102 na wajukuu 568 amesema kwamba hatoongeza tena ukubwa wa familia yake kutokana na kupanda kwa gharama za maisha. Read more about "Mwanaume anaridhikaje na mke mmoja"- Musa