Masanja akemea ukatili Mwanza
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja, amesikitishwa na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia ambavyo ni moja ya kisababishi cha watoto kuishi katika mazingira hatarishi na kulaani vitendo hivyo huku akiwasihi wananchi wa Mwanza kuunga mkono juhudi za kupambana na ukatili.