Rais Samia afanya uteuzi mpya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt Hashil Abdallah kuwa Katibu Mkuu Wizara  ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara . Kabla ya uteuzi huo Dkt Abdallah alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara (Uwekezaji).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS