Mabalozi wasimika bendera ya Tanzania Kilimanjaro

Zaidi ya Wapanda Mlima 200 wakiwemo mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani leo wamepokelewa katika Lango la Marangu ikiwa ni baada ya kukamilisha zoezi la kusimika Bendera ya Taifa katika kilele cha Mlima mrefu zaidi barani Afrika Kilimanjaro .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS