Vijana nchini watakiwa kuilinda amani iliyopo

Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Elihuruma Mabelya,

Vijana nchini wameshauriwa kufahamu kwamba viongozi waasisi wa Taifa la Tanzania walifanya kazi kubwa ya kuhakikisha Uhuru unapatikana hivyo  na wao wanao wajibu wa kuitunza na kuilinda amani iliyopo ili isitoweke

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS