Majahazi yenye shehena za mafuta ya kula yakamatwa

Moja ya Jahazi lililokamatwa na shehena ya mafuta

Jeshi la Polisi Kikosi cha Wanamaji  Dar es Salaam, wamekamata majahazi matatu yakiwa yamebeba shehena ya mafuta ya kupikia yakiwa kwenye madumu ya lita 20 yapatayo 1231, yakitokea Zanzibar kuelekea Bandari bubu Kunduchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS