Rais Samia apata kura moja ya hapana uchaguzi CCM

Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM

Dkt Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM kwa kachaguliwa kwa kura za ndio 1914 kati ya kura 1915 na kura 1 imesema hapana. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS