Diwani na wenzake mahakamani kwa tuhuma za mauaji

Diwani na wenzake 13 walivyofikishwa mahakamani

Watu 14 akiwemo Diwani wa Kata ya Buzilasoga David Shilinde, Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B William Nengo na Afisa Mtendaji wa Kijiji hicho Tiluloza Alphonce, wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza kwa tuhuma za mauaji ya mwanamke aitwaye Getruda Dotto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS