Walioteka wanawake Burkina Faso wasakwe Umoja wa Mataifa, Marekani na Ufaransa zimetoa wito wa kuachiliwa bila masharti kwa wanawake kadhaa waliotekwa nyara katika jimbo la kaskazini mwa Burkina Faso la Soum kati ya Januari 12 na 13 mwaka huu. Read more about Walioteka wanawake Burkina Faso wasakwe