Bella aikabidhi 'Nashindwa' EATV

Mwanamuziki wa bendi ya Malaika nchini Christian Bella

Mwanamuziki nyota wa muziki wa dansi nchini kutoka bendi maarufu ya malaika Band, Christian Bella leo hii ametoa zawadi kwa mashabiki wake kwa kutambulisha kichupa chake kipya hapa EATV alichokibatiza jina 'Nashindwa'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS