DADDY FACE AITAMBIA FOREVER

Daddy Face amesema kuwa wimbo wake wa Forever ni maalum kwa kuonesha upendo kwa mpenzi wako, anaamini kwamba kila mtu anapokuwa katika mahusiano lazima umpende mpenzi wako forever na umuoneshe kwa vitendo kwamba kweli utakuwa naye forever

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS