Serikali kulipa wakulima, NFRA machi 30 Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda Serikali ya Tanzania imesema itajitahidi kuhakikisha inalipa deni lote la mahindi yaliyonunuliwa kutoka kwa wakulima na Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ifikapo Machi 30, mwaka huu. Read more about Serikali kulipa wakulima, NFRA machi 30