Utapiamlo bado ni tishio Tanzania

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii nchini Tanzania, Dkt Seif Rashid.

Takribani watoto milioni tatu ambao ni sawa na asilimia arobaini na mbili ya watoto wote walio na umri chini ya miaka mitano nchini Tanzania, wamedumaa na hawatakuwa na akili ya kutosha inayohitajika katika shughuli za uzalishaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS