Kesi ya Zumaridi yatua kwa DPP

Mfalme Zumaridi (kulia), akiwa mahakamani

Jalada la kesi namba 11 ya mwaka 2022 ya usafirishaji haramu wa binadamu, inayomkabili  Mfalme Zumaridi, limefikishwa mikononi mwa Mwendesha Mashtaka Mkuu wa serikali (DPP) Sylvester Mwakitalu, kufuatia upelelezi wake kutokamilika tangu Februari, 2022, Zumaridi alipokamatwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS