Paka wa ajabu aibuka Geita, amng'ang'ania mtoto

Joyce Japhet (5) mtoto mkazi wa kitongoji cha Kilimahewa kata ya Lulembela, wilayani Mbogwe mkoani Geita amenusurika kufa baada ya kushambuliwa na Paka ambae alimng'ata na kumng'ang'ania usoni  mpaka alipokatwa shingo ndipo akamuachia

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS