Kesi ya Zumaridi yatua kwa DPP
Jalada la kesi namba 11 ya mwaka 2022 ya usafirishaji haramu wa binadamu, inayomkabili Mfalme Zumaridi, limefikishwa mikononi mwa Mwendesha Mashtaka Mkuu wa serikali (DPP) Sylvester Mwakitalu, kufuatia upelelezi wake kutokamilika tangu Februari, 2022, Zumaridi alipokamatwa.

