Miili pamoja na mizigo ya waliokuwa abiria wa meli ya MV Spice Islander iliyopata ajali na kuzama kwenye mkondoi wa Nungwi mwaka 2011 ikionekana ikielea kwenye maji.
Wakazi wa Wilaya ya Wetemkoa wa Kaskazini Pemba wanaotumia usafiri wa majina wapo katika hatari ya kupata ajali za majini kutokana na kutokuwepo kwa usafiri wa uhakika eneo hilo.