Tuku atolea nje tuzo za ZIM

mwanamuziki wa Afro Pop nchini Zimbabwe Oliver Mtukudzi

Mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya Afro Pop nchini Zimbabwe Oliver Mtukudzi amewashtua mashabiki baada ya kuweka wazi kuwa hatoshiriki kwenye tuzo za muziki zijulikanazo kama Zimbabwe Music Awards ambazo zitafanyika mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS