170 wahukumiwa kwa makosa ya madawa ya kulevya

Mkuu wa Polisi kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya nchini ACP Amon Kakwale

Jeshi la Polisi Nchini Kupitia Kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya (Anti Drug Unit), limesema kuwa jumla ya watuhumiwa 377 walitiwa hatiani kwa makosa ya kujihusisha na madawa ya kulevya na watu 170 walifungwa vifungo mbalimbali kwa makosa hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS