Vodacom, EATV wawatembelea washiriki Dance 100%
Kampuni ya Vodacom Tanzania pamoja na EATV, leo hii imeanza zoezi la kutembelea washiriki wa shindano ya Dance 100% 2014 katika kambi zao za mazoezi ili kuangalia mchakato wa maandalizi ya makundi haya kuelekea hatua ya robo fainali.