Vodacom, EATV wawatembelea washiriki Dance 100%

Meneja Mahusiano Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu akiwa (katikati mwenye T-Shirt nyeusi) na kundi la Mazabe Powder katika kambi yao Tegeta Dar es Salaam leo.

Kampuni ya Vodacom Tanzania pamoja na EATV, leo hii imeanza zoezi la kutembelea washiriki wa shindano ya Dance 100% 2014 katika kambi zao za mazoezi ili kuangalia mchakato wa maandalizi ya makundi haya kuelekea hatua ya robo fainali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS