Bunge kuendelea kujadili bajeti ofisi ya Pinda

Waziri mkuu wa Tanzania, Mizengo Kayanza Peter Pinda.

Majadiliano ya hotuba ya Makadirio ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu yanaendelea tena leo mjini Dodoma ambapo hakuta kuwa na kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda kama ilivyo desturi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS