Mrithi wa Awadh aahidi ushindi March 29

Bondia Kalage Suba wa Dar es salaam ambaye hivi karibuni ameteuliwa kuchuakua nafasi iliyoachwa wazi na bondia Fadhili Awadhi aliyefariki dunia wiki iliyopita yuko katika maandalizi mazito akijifua kwa ajili ya pambano la March 29 dhidi ya bondia Alan Kamote toka Tanga ukiwa ni mpambano wa ubingwa wa kimataifa wa UBO Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS