"Serikali haitapunguza eneo la Msitu Mbiwe" - Mary

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja,

Serikali imesema haitapunguza eneo la Hifadhi ya Msitu wa Mbiwe kwa ajili ya matumizi ya wananchi na shughuli za kiuchumi, ikieleza kuwa itaendelea kulihifadhi eneo hilo kwa lengo la kulinda bioanuai zilizopo katika msitu huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS