Watumishi wa afya watano wasimamishwa Magu

Mkuu wa wilaya ya Magu Salum Kalli amewasimamisha kazi watumishi watano wa idara ya afya wasio waaminifu ambao wamekuwa wakitumia taaluma yao vibaya kwa kutoa lugha zisizofaa kwa wagonjwa, kuomba rushwa pamoja na kuhusika na upotevu wa dawa katika Zahanati na vituo vya afya wilayani humo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS