Netanyahu apania kuiongoza tena Israel

Waziri mkuu wa zamani wa Israel Benjamin Netanyahu

Waisraeli wameanza kupiga kura leo kwa mara ya tano katika kipindi cha chini ya miaka minne, huku waziri mkuu wa zamani Benjamin Netanyahu akipania kurejea madarakani pamoja na washirika wa vyama vya mrengo wa kulia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS