Shahidi kesi ya Zumaridi asahaulika gerezani

Kesi namba 10 inyomkabili Diana Bundala Maarufu kama mfalme Zumaridi na wafuasi wake 8 imeshindwa kuendelea leo katika Mahakama ya Hakimu mkazi mkoa wa Mwanza kutokana na Shahidi namba sita ambae pia ni mshtakiwa katika kesi hiyo Suzana Simon  kutoletwa Mahakamani hapo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS