Watoto wa kike wapaza sauti zao
Katika kuadhimisha siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike, wasichana kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania wameungana na kupaza sauti zao kwa pamoja kwa kuitaka serikali kuhakikisha inaondoa mifuko yote ya kisheria inayokwamisha upatikanaji wa elimu kwa mtoto wa kike hasa yule anayeishi kijijini