Madai ya wananchi kutapeliwa yaanza kuchunguzwa

Msemaji wa  Jeshi la Polisi David Misime

Ofisi ya Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya Jinai kwa kushirikiana na taasisi nyingine za uchunguzi na za kifedha wameanza uchunguzi wa madai ya wananchi kutapeliwa na kampuni inayofahamika kama Kalynda E-Commerce Ltd huku wananchi wakitakiwa kuwa makini na matapeli wa mitandaoni

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS