
Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime
Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataka wananchi kama wanataka kuwekeza kuhakikisha wanawekeza kwenye taasisi za kifedha zilizopo kwa mujibu wa sheria
Aidha, Polisi wametoa rai pale mwananchi atakapo baini kampuni zenye mwenendo wa aina hiyo wasisite kutoa taarifa mapema iii hatua stahiki zichukuliwe.