Makamu wa Rais ahutubia mkutanoni Marekani

Makamu wa Rais Tanzania Dkt. Phillip Mpango

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa mataifa ulimwenguni kuungana katika kutoa mchango kwa mfuko wa kimataifa wa kupambana na Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS