CCM yawaomba Watanzania kuwa watulivu kuhusu tozo

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaomba Watanzania kuendelea kuwa watulivu na kukiamini chama hicho kwani tayari kimeshakutoa maelekezo kwa serikali juu ya namna ya kushughulikia malalamiko ya wananchi yanayohusu tozo za kielektroniki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS