Mdee na wenzake waruhusiwa kuwasilisha mapingamizi
Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam, imeridhia mawakili wa wabunge 19 wa viti maalum wakiongozwa na Halima Mdee kuwasilisha mapingamizi yao ya awali ili yasikilizwe kabla ya kuendelea na kesi ya msingi.