Simbachawene ataka jukwaa maalum

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), George Simbachawene

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), George Simbachawene amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba kuwa na jukwaa maalumu kwa ajili ya kutoa ufafanuzi juu ya mambo yanayojadiliwa mtandaoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS