Wahadzabe wakabidhiwa Nyumbu zaidi ya 20
Wizara ya Maliasili kupitia Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere, imekabidhi Nyumbu zaidi ya 20 kwa wananchi jamii ya Wahadzabe eneo la Yaeda Chini wilayani Mbulu, ili kutekeleza ahadi ya kutoa nyama kwa jamii hiyo ili iweze kushiriki kikamilifu zoezi la Sensa.