CCM yawaonya viongozi wanaodhalilisha wanawake Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho Shaka Hamdu Shaka Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekemea tabia ya udhalilishaji inayodaiwa kufanywa na baadhi ya watumishi waliopewa dhamana katika halmashauri mbalimbali ikiwemo ya Sikonge mkoani Tabora. Read more about CCM yawaonya viongozi wanaodhalilisha wanawake