CCM yawaonya viongozi wanaodhalilisha wanawake 

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho Shaka Hamdu Shaka

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekemea tabia ya udhalilishaji inayodaiwa kufanywa na baadhi ya watumishi waliopewa dhamana katika halmashauri mbalimbali ikiwemo ya Sikonge mkoani Tabora. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS