Waliofariki Mbeya kwa ajali wafika 19 Moja ya gari lililoparamiwa na lori Idadi ya watu waliofariki katika ajali iliyotokea hii leo Agosti 16, 2022, katika eneo la mteremko wa Inyala Pipeline wilayani Mbeya imefikia 19 ambapo kati yao wanaume ni 12 wanawake sita na mtoto mmoja. Read more about Waliofariki Mbeya kwa ajali wafika 19