Odinga aeleza alivyoshtushwa na matokeo ya Urais

Raila Odinga, wakati akizungumza baada ya matokeo kutangazwa

Aliyekuwa mgombea Urais kupitia Azimio, Raila Odinga, amesema kwamba yeye, chama chake na wakenya kwa ujumla walishtushwa na matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Wiliam Ruto, yaliyotangazwa na Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati na kusema yeye hayatambui.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS