Odinga aeleza alivyoshtushwa na matokeo ya Urais
Aliyekuwa mgombea Urais kupitia Azimio, Raila Odinga, amesema kwamba yeye, chama chake na wakenya kwa ujumla walishtushwa na matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Wiliam Ruto, yaliyotangazwa na Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati na kusema yeye hayatambui.