Familia yakanusha mtoto kufariki kisa kipigo shule

Bennet L. Kiwelu, Mwanafunzi aliyepoteza maisha

Familia ya mtoto aliyefariki dunia, Bennet Laurence Kiwelu mwanafunzi wa darasa la 5 Shule ya Msingi Mount Sayuni ya Dar es Salaam kwa kile kilichodaiwa kuwa ni baada ya kushambuliwa na mwalimu shuleni Jumatatu iliyopita, imesema kuwa taarifa hizo siyo za kweli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS