Vijana laki tatu wanakosa ajira kila mwaka

Kaimu Mkurugenzi  wa Chemba ya Kilimo na Biashara (TCCIA) Nerbat Mapwele

Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya vijana duniani imeelezwa kuwa zaidi ya vijana laki nane wanaoingia mtaani kila mwaka wamekuwa wakikosa ajira huku changanoto ikiwa ni vijana kukosa elimu ya kujitegemea pamoja na changanoto nyingine katika masuala ya uongozi pamoja na ukatili

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS