Maeneo yote yanayohifadhiwa kisheria kulindwa

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana

Wizara ya Maliasili na Utalii nchini imekubaliana na Azimio la Bunge la kuridhia itifaki ya mkataba wa Umoja wa Nchi Uhuru za Afrika wa kuzuia na kupambana na ugaidi wa mwaka 2004 lililowasiliwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS