Vijana laki tatu wanakosa ajira kila mwaka
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya vijana duniani imeelezwa kuwa zaidi ya vijana laki nane wanaoingia mtaani kila mwaka wamekuwa wakikosa ajira huku changanoto ikiwa ni vijana kukosa elimu ya kujitegemea pamoja na changanoto nyingine katika masuala ya uongozi pamoja na ukatili