Bodaboda auawa na pikipiki yake kuchukuliwa

Bodaboda

Dereva bodaboda aitwaye Hassani Abeid, ameuawa na watu wasiojulikana baada ya kumvamia na kumchoma na kitu chenye ncha kali shingoni na kumnyang’anya pikipiki yake katika mtaa wa Sawe wilayani Babati mkoani Manyara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS