Mkurugenzi wa benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela
Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikianana wadau , taasisi na sekta binafsi katika kutafuta suluhisho la matatizo mbalimbali yanayoikumba jamii haswa katika maeneo ya afya, elimu na huduma za jamii.