Watu sita wafariki kwenye ajali Manyara

Basi lililopata ajali

Jumla ya watu 6 wamepoteza maisha na wengine 20 kulazwa katika hospitali ya Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara, kufuatia ajali ya basi lililoanguka katika kijiji cha Chekanao, huku chanzo cha ajali hiyo kikitajwa kuwa mwendokasi wa dereva.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS