Mwanamke ajinyonga na kipande cha kitenge

Kitenge

Elizabeth Cheleo mwenye umri wa miaka 37 mkazi wa mtaa wa Nsemulwa, Kata ya Nsemulwa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, amepoteza maisha kwa kujinyonga chumbani kwake  kwa kutumia kipande cha kitenge alichokining'iniza juu ya kenchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS