Shule nchini Kenya zaendelea kufungwa Waziri wa Elimu nchini Kenya, George Magoha Waziri wa Elimu nchini Kenya George Magoha, ametangaza kuwa shule nchini humo zitafunguliwa tena Jumatatu ya Agosti 15 badala ya kesho Agosti 11, 2022, kutokana na kuendelea kwa zoezi la uhesabuji wa kura. Read more about Shule nchini Kenya zaendelea kufungwa