Waliopata ujauzito wahamasishwa kurejea shuleni

Picha ya mwanafunzi mwenye ujauzito

Wanafunzi waliopata ujauzito na kusitisha masomo yao ya msingi au sekondani Mkoani Lindi, wametakiwa kurudi shuleni mapema ili waweze kuendelea na masomo jambo litakalowasaidia kuweza kutimiza ndoto zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS