Katibu Mkuu Kiongozi wa zamani nchini afariki Balozi Paul Rupia Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi mnamo mwaka 1986 hadi 1995 na kushika nyadhifa mbalimbali katika wizara, Balozi Paul Rupia, amefariki dunia nchini Afrika Kusini hii leo Septemba 16, 2022. Read more about Katibu Mkuu Kiongozi wa zamani nchini afariki