Barabara ya mchepuko Inyala Mbeya yazinduliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga na timu yake wakikagua barabara ya mchepuko katika eneo hilo

Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), imekamilisha ujenzi wa barabara ya mchepuko kwa ajili ya kupitisha magari katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya, mahali ambapo zimekuwa zikitokea ajali mara kwa mara ikiwemo ile iliyosababisha kifo cha DED Igunga na dereva wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS