Barabara ya mchepuko Inyala Mbeya yazinduliwa
Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), imekamilisha ujenzi wa barabara ya mchepuko kwa ajili ya kupitisha magari katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya, mahali ambapo zimekuwa zikitokea ajali mara kwa mara ikiwemo ile iliyosababisha kifo cha DED Igunga na dereva wake.

